TRAFIKI WAMKAMATA MTOTO AKIENDESHA TREKTA BARABARANI

ASKARI wa usalama barabarani jana walimkamata mtoto aliyekuwa akiendesha trekta akiwa na baba yake.
RTO wa Mkoa wa Tanga aliwaweka mahabusu
katika kituo kidogo cha Polisi Michungwani (Segera) na baada ya baba mzazi
kuomba msamaha na kuahidi kutorudia tena kosa hilo ameandikiwa faini ya makosa
ya makosa mawili.

Post a Comment