MESSI AVUNJA REKODI YA PELE AMERIKA KUSINI

 Argentina vs Bolivia LIVE: Captain Leo Messi scores delightful hat-trick as Copa America holders clinch 3-0 win in World Cup Qualifying

MSHAMBULIAJI nyota wa PSG na Argentina, Lionel Messi, alfajiri ya leo amevunja rekodi ya mkongwe Edson Arantes Do Nescimento Pele ya kufunga mabao.

Baada ya kufunga mabao matatu dhidi ya Bolivia katika kuwania kufuzu kwa kombe la dunia, mwanasoka huyo bora wa dunia mara sita, amefikisha mabao 78, akimuacha Pele kwa bao moja na hivyo kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Amerika ya Kusini.

No comments