KOCHA DIDIER GOMES WA SIMBA KUKAA JUKWAANI LIGI YA MABINGWA AFRIKA MSIMU HUU
KOCHA Didier Gomes aliyeifikisha Simba robo fainali ya Michuano
ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita, mwaka huu atabaki jukwaani
akiwatazama vijana wake baada ya kukosa vigezo.
Shirikisho la soka Afrika, limetoa
orodha ya makocha ambao hawaruhusuwi kukaa kwenye bench la timu zao, kutokana
na kukosa vigezo vya CAF A au UEFA PRO LICENCE
Didier Gomes (UEFA A Diploma) - Simba SC
Erradi Mohamed Adil (UEFA Advanced Diploma) -APR
Bosa Wasswa (CAF B) - Express FC (To
be replaced)
Diego Garzitto (UEFA A) -El Merreich SC
Comlan Mathias (German License) - ESAE FC
Pascal Lafleurial (UEFA Elite Youth A) - DFCB
Roque Sapir (CAF C Diploma) - GD Sagrada Esperança
Ame Khamis (CAF B) -KMKM
Abalo Jean-Paul (UEFA A) - ASKO

Post a Comment