MECHI YA WATANI LIGI KUU DESEMBA 11

 Bodi ya ligi na maagizo makuu msimu ujao. | East Africa Television

BODI ya Ligi Tanzania, leo imetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu Tanzania huku ikionyesha kuwa pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga ambalo huvuta hisia za watanzania wengi, litapigwa Desemba 11 mwaka huu.

Aidha, mechi za kwanza za vigogo zinaonyesha Simba wataanza na Biashara ugenini kama ambavyo watani wao Yanga nao wataanzia Kagera huku Azam wakiwafuata Coastal Union mjini Tanga.

 

No comments