FALLY IPUPA KUFANYA MAONYESHO MAWILI NCHINI

MWANAMUZIKI nyota wa Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Kongo DRC, Fally Ipupa atatumbuiza katika miji ya Dar es Salaam
na Mwanza Oktoba mwaka huu.
Jijini Dar es Salaam, staa huyo
atafanya vitu vyake katika Ukumbi wa Mlimani City Oktoba 9 na kule Rock City atatumbuiza
Oktoba 13 pale Elevate.

Post a Comment