CAF YAZUIA MASHABIKI VIWANJANI KLABU BINGWA, SHIRIKISHO
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF) limepokea taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
(CAF) kuwa michezo ya raundi ya awali Ligi ya Mabingwa (CAFCL) na Kombe la
Shirikisho Afrika (CAFCC) kuchezwa bila ya watazamani (mashabiki) uwanjani .
TFF imesema kuwa imefanya mawasiliano na klabu zote
zinazoshiriki michuano hiyo na kuwapa maelekezo hayo.
“Ni vyema klabu zikafuata masharti kama yalivyoelekezwa,
tunaendelea na jitihada kuhakikisha tunakubaliana na masharti ya CAF pia
kuhakikisha mechi zinazofuata zinaruhusiwa kuingiza watazamaji.

Post a Comment