MZEE ASAS AFARIKI DUNIA

MKURUGENZI Mtendaji (CEO)wa Kampuni ya Asas Group of Companies,
Alhaji Faraji Ahmed Abri (Mzee Asas) amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na kampuni
hiyo imesema mzee Asas amefariki leo Ijumaa Agosti 13, 2021 jijini Dar es
Salaam na kwamba atazikwa katika makaburi ya Kisutu baada ya swala ya Ijumaa.
Familia imeomba watu kutofika
nyumbani kwa marehemu.

Post a Comment