MWANDIKO WA JK GUMZO MITANDAONI

 Tanzania's president Jakaya Kikwete will leave office next year. What  economic legacy is he leaving behind? — Quartz Africa

INGAWA Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete maarufu kama JK hayupo madarakani kwa miaka sita sasa, lakini bado amebaki kuwa mioyoni mwa watanzania wengi.

Hivi karibuni imeibuka shangwe baada ya mtu mmoja asiyejulikana kuleta barua inayodaiwa kuwa ya JK akimuandikia Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni na hivyo kuleta mjadala mkubwa mitandaoni juu ya ukweli wa mwandiko huo.

Hii hapa barua hiyo inayodaiwa kuandikwa na JK.

E95rVa0X0AUIRMu.jpg


No comments