MECHI YA KWANZA YA MESSI WA PSG LEO

KOCHA wa PSG, Mouricio Pochettino
amethibitisha kuwa, Lionel Messi atakuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha
kwanza watakaoshuka katika Dimba la Stade Auguste-Delaune kuchuana na Reims
katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Ufaransa (Ligue 1).
Hii itakuwa na mechi ya kwanza kwa nyota huyo wa Argentina
akiwa PSG, alikotua akitokea timu yake ya tangu utotoni, Barcelona.

Post a Comment