UHURU KENYATTA AONYWA NA JAJI MKUU KENYA

UOGA upo Bongo tu, sikia mambo ya kwa Nyayo...
Jaji Mkuu Martha Koome amemuonya
Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya kuingilia shughuli za mahakama na kutoheshimu
sheria za nchi. Jaji Koome amemhimiza Rais kuwateua majaji 6 aliowaacha
nje,wakiwemo wawili waliopinga muswada wa kubadili katiba wa BBI.

Post a Comment