SAB AYA AFIKISHWA MAHAKAMANI ARUSHA


Sabaya1.jpg

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakamani leo jijini Arusha.

Sabaya alikamatwa tangu Mei 25 na kwa muda wote huo amekuwa akihojiwa kwa tuhuma mbalimbali zinazomkabili, zikiwemo vitisho, utekeji nyara, uporaji fedha na udhalilishaji wa kingono.

Hata hivyo, hadi habari hizi zinatufikia, Sabaya alikuwa bado hajapandishwa na kusomewa mashtaka yake. Bado anasubiri katika mahabusu ya mahakama.

No comments