RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ASHTUKIZA SOKONI KARIAKOO


Inaweza kuwa picha ya Mtu 1, amesimama na gari

RAIS Samia Suluhu Hassan asubuhi ya leo ameshtukiza kuingia sokoni Kariakoo na kusikiliza kero mbalimbali za wafanyabiashara.

Akiongea kwa kifupi akiwa juu ya gari, mama Samia amesema amesikiliza kero zote kutoka kwa wafanyabiashara, amejionea jinsi bidhaa zinavyokaa na ameshangazwa na mapato yanavyopatikana na kutumika.

Akasema wakati anaenda kukaa na wataalam ili kufanya tathmini, viongozi waliopo wakae pembeni ili kupisha uchunguzi.

No comments