MH, BABU TALE NA UWEZO WA KUZUIA MVUA
MBUNGE wa CCM jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale maarufu kama Babu Tale, leo ameliambia Bunge kuwa yeye ni mtaalamu wa kuzuia mvua zisinyeshe wakati wa matamasha ya muziki yanayofanyika katika viwanja vya wazi.
"Tunaofanya burudani za
viwanjani tumekuwa tukipigia sana simu Babu zetu vijijini wazuie mvua, katika
hotuba ya Waziri sijaona akisema ujenzi wa Sports Arena, hakuna msanii asiyejua
kama mimi ndiyo naongoza kufunga mvua, Waziri naomba unipunguzie hii kazi"

Post a Comment