MH, BABU TALE NA UWEZO WA KUZUIA MVUA


Wasafi family(WCB) Babu Tale and Mwana FA win legislative seat battle each  in Tanzania

 MBUNGE wa CCM jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale maarufu kama Babu Tale, leo ameliambia Bunge kuwa yeye ni mtaalamu wa kuzuia mvua zisinyeshe wakati wa matamasha ya muziki yanayofanyika katika viwanja vya wazi.

"Tunaofanya burudani za viwanjani tumekuwa tukipigia sana simu Babu zetu vijijini wazuie mvua, katika hotuba ya Waziri sijaona akisema ujenzi wa Sports Arena, hakuna msanii asiyejua kama mimi ndiyo naongoza kufunga mvua, Waziri naomba unipunguzie hii kazi"

 

No comments