MOBETO AJIKABIDHISHA KWA RICK ROSS MAREKANI

MWANAMITINDO na msanii Hamisa Mabeto amejikabidhisha kwa rapa wa Marekani, Rick Ross baada ya kuulizwa katika ukurasa wake wa Instagram kama yupo tayari kusafiri kuelekea taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Rick Ross alikomenti kwenye picha ya
mrembo huyo aliyosimama mbele ya gari aina ya Range Rover kwa kuandikai:
“Your moving to (akaweka bendera ya
Marekani)”
Mobeto naye akajibu kwa kuandika:
“All
my bags are packed. I’m ready”.

Post a Comment