MBOWE ATANGAZA KUSTAAFU UENYEKITI CHADEMA 2023


Coronavirus: Freeman Mbowe asema mtoto wake ameambukizwa virusi vya corona  ndani ya Tanzania - BBC News Swahili

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Alikael Mbowe ametangaza kustaafu rasmi nafasi hiyo baada ya miaka miwili ijayo.

Mbowe, mwanasiasa ambaye anatajwa kuwa mvumilivu na aliyejawa na busara, amewahi kuwa Kiongozi Rasmi wa Upinzani Bungeni, wakati huo chama chake kikiwa ndicho chenye wabunge wengi zaidi baada ya CCM.

Anakiacha chama hicho alichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20, kikiwa kimeshatoa tamko la kutoshiriki Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, endapo nchi haitakuwa na Katiba Mpya au Tume Huru ya Uchaguzi.

 

No comments