MANJI ADONDOKA BONGO AKITOKEA UGHAIBUNI

HABARI nzuri kwa wanamichezo na hasa mashabiki wa Klabu ya Yanga ni kwamba aliyewahi kuwa bosi wao, Yussuf Mehboob Manji ameingia nchini akitokea Ughaibuni alikoishi kwa muda kadhaa.
Mfanyabiashara huyo ambaye wakati
akiwa bosi wa Jangwani, timu hiyo ilikuwa haifungiki na ilitwaa makombe yote,
alipotua Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, anadaiwa kuhojiwa na maofisa wa
Uhamiaji ili kujiridhisha na uraia wake.

Post a Comment