MAKATIBU TAWALA WALA KIAPO MBELE YA RAIS SAMIA


Single News | Dodoma City Council

KUFUATIA uteuzi wake kwa Makatibu Tawala wa Mikoa aliowateua Mei 29 mwaka huu, viongozi hao leo wamekula kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino.

Baada ya kula kiapo, viongozi hao watakula kiapo chas uadilifu. Pia Rais Samia aliwateua William Erio kuwa Afisa mtendaji mkuu wa FCC na Dkt. John Mduma kuwa mkurugenzi mkuu wa WCF. Kuwa nami.

No comments