KWELI BABA LEVO CHAWA, MSIKIE AKIMSIFIA DIAMOND


BABA LEVO: DIAMOND HAWEZI KUNIZUIA MIMI NISIONGEE NA HARMONIZE/ HARMONIZE  NI MWIZI ALIIBA JINA LA.. - YouTube

DIWANI wa zamani wa ACT Wazalendo huko Kigoma ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya, Baba Levo, amethibitisha kuwa yeye ni chawa, neno linaloshabihiana na mpambe wa kutupwa wa Diamond Platnumz.

Akiwa mzima wa afya, amekiambia kituo kimoja cha televisheni za mtandaoni kuwa Diamond ambaye ameteuliwa kuwania Tuzo za BET mwaka huu, anajenga mjengo ambao kwa msanii wa kawaida nchi hii, itamchukua kati ya miaka 30 hadi 40 kuimaliza!

"Ni uwekezaji wa nyumba yenye thamani ya shilingi bilioni 800, hela ambazo anazo, anaweza kula kwa miaka 300 na hapo kila siku awe anakula milioni moja."

 

No comments