BOSSLADY ZARI ATINGA BUNGENI DODOMA


Zari Hassan Amsifia Mama Yake Asema Sio Mswahili na Mwenye Hekima... | Zari,  Style, Fashion

MWANAMAMA Zarina Hassan anayefahamika pia kama Zari The BossLady, ambaye ni maarufu hapa nchini kutokana na kuzaa watoto wawili na staa wa Bongo Fleva Diamond  Platnumz, yupo mjengoni akiwa mmoja wa waalikwa leo hii.

Zari amekaribishwa kushuhudia shughuli za Bunge akiwa amealikwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dr. Damas Ndumbaro. Zari kwa sasa ni Balozi wa Hiari wa Utalii Tanzania.

Zari alitua Airport Dar es salaam juzi akitokea South Africa kwa ajili ya kazi zake za Ubalozi ikiwemo kugawa taulo za kike kwa wasichana mbalimbali Dar es Salaam.

No comments