YANGA YATANGULIA NUSU FAINALI FA

Mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam kati ya
Mwadui na Yanga umemaliza kwa Yanga kuibuka kidedea kwa ushindi wa goli 2-0
-
Matokeo hayo yanaipeleka Yanga hatua ya nusu fainali na
itakutana na Biashara United iliyoingia hatua hiyo kwa kuitandika Namungo goli
2-0.
Mabao ya Yanga yamewekwa kambani na
mshambuliaji wake mzawa, Deus Kaseke

Post a Comment