Wasanii wakutana studio kumuaga JPM


 

Baadhi ya wasanii maarufu nchini, wakiongozwa na mkongwe Khadija Kopa wamejikusanya na kuingia studio kuandaa wimbo wa pamoja wa kumuaga Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Wasanii hao ni pamoja na Diamond Platnumz, RayVanny, Jux, Marioo, Malkia Karen, Zuchu, Christina Shusho, Gnako, Abbah, S2kyz na wengineo waliokutana katika studio za Wanene.

 

 

No comments