WANANCHI WATIA TIMU KUMUAGA JPM

 

MABINGWA wa kihistoria nchini, Dar es Salaam Young Africans, leo wamekuwa timu ya kwanza inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania bara kwenda uwanjani kama kikosi na kutoa heshima zao za mwisho kwa Rais John Pombe Joseph Magufuli.

Wakiwa katika sare zao rasmi, vinara hao walio juu kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu, waliwasili wakiwa ni wachezaji, viongozi, benchi la ufundi na wadau wengine muhimu.

 

No comments