Ruud Van Nistelrooy 🗣: Haya mahaba kwa Messi too much




Lionel Messi equaled Xavi's all-time appearance record for the club.



Mshambuliaji wa zamani wa Uholanzi, Ruud Van Nistelrooy amekuja na mpya baada ya kutoa kauli hii kuonyesha kuwa anamkubali zaidi nyota wa Barcelona na Argentina, Lionel Messi.

"Cristiano ni mpachika mabao, Iniesta anatumia akili nyingi, Salah, Mané, Hazard na Mbappé ni wachezaji mahiri sana wanaotokea pembeni.

"Lakini ukiwaunganisha wote hao kwa pamoja, unampata Messi. Hakuna yeyote anayemsogelea."

Kwa hisani ya BeeSports


 

No comments