Nani kuwa Makamu wa Rais?


 

Majaliwa Kassim Majaliwa anaweza kuendelea kuwa Waziri Mkuu. Lakini Taifa ni lazima limpate Makamu wa Rais.

Ni dhahiri, mtu huyo atapatikana leo, katika Kikao Cha Kamati Kuu ya CCM, ambacho kitaongozwa kwa mara ya kwanza na Mwenyekiti wake mpya, Rais Samia Suluhu Hassan.

Majina kadhaa yanatajwa na wengine wameweka mpangilio wao. Wanaotajwa ni pamoja na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na baadaye kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Emanuel Nchimbi.

Lakini pia, jina la January Makamba nalo linatajwa kama mmoja wa watu wanaofaa kuvaa viatu vya umakamu wa rais.

 

No comments