Nguvu ya penzi yampeleka Harmonize Kanisani

 


Rajab Abdul Kahali ambaye ni maarufu kama Harmonize au kama wengine wanavyomuita Konde Gang, ni Muislamu kwa imani. Na binti anayetoka naye kimapenzi hivi sasa anaitwa Nicole Joyce Berry ambaye naye huko mitandaoni ni maarufu kama Poshy Queen, ambaye kiimani ni Mkristo.

Sasa katika hali isiyotarajiwa, Konde Gang ameonekana mtandaoni akiwa amejirekodi akiwa na bibie huyo, wakiwa kanisani, dhahiri alikwenda kumsindikiza wa ubavu wake!


No comments