Kipa namba moja Yanga arejea kambini
KIPA namba moja wa Yanga raia wa Mali, Djigui Diarra amerejea nchini sambamba na kuingia kambini leo .
Diarra amerejea nchini akitokea Katika majukumu ya timu ya taifa ya Mali iliyokuwa inashiriki Kombe la Mataifa Afrika (Afcon).

Post a Comment