Bye Bye Rigo Cameroon
Uvumi wa kufukuzwa kwa kocha huyo ulivuma tangu kuondolewa mapema kwa Cameroon, bingwa mara tano wa Afrika, mikononi mwa Nigeria katika hatua ya 16 bora ya AFCON 2023.
Rigobert Song ataondoka kwenye benchi la timu ya taifa, Rais wa Fécafoot, Samuel Eto’o ametangaza rasmi Jumatano Februari 28 katika mahojiano ya kipekee na FRANCE 24.

Post a Comment