WAZIRI MKUU AZINDUA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI NA VITONGOJINI

 


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuzindua mradi wa usambazajiwa umeme  vijijini na vitongojini unaotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA). Uzinduzi huo ulifanyika kwenye kijiji cha Ivugula wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe


No comments