Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kuzindua mradi wa usambazajiwa umeme vijijini na vitongojini unaotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA). Uzinduzi huo ulifanyika kwenye kijiji cha Ivugula wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe
Post a Comment