Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (katikati), Naibu Waziri wa Nishati wa Uganda, Mhe. Peter Lokeris (kulia) na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Mstaafu Fred Mwesigye, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao kuhusu utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa Bomba la kusafirisha Gesi Asilia kutoka nchini Tanzania kwenda nchini Uganda kilichofanyika terehe 26 Oktoba 2023, Jijini Dar es salaam.

Naibu Waziri wa Nishati wa Uganda, Mhe. Peter Lokeris (katikati) na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (wa tatu kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa Tanzania na Uganda, kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Musa Makame, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Kanali Mstaafu Fred Mwesigye, baada kikao kuhusu utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa Bomba la kusafirisha Gesi Asilia kutoka nchini Tanzania kwenda nchini Uganda kilichofanyika terehe 26 Oktoba 2023, Jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (kushoto) na Naibu Waziri wa Nishati wa Uganda, Mhe. Peter Lokeris (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja baada kikao kuhusu utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa Bomba la kusafirisha Gesi Asilia kutoka nchini Tanzania kwenda nchini Uganda kilichofanyika terehe 26 Oktoba 2023, Jijini Dar es salaam.
Post a Comment