KIWANDA BUBU CHA SILAHA CHABAINIKA MSITUNI, MMOJA AKAMATWA

 Koncept TV on Twitter: "Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limefanikiwa kukamata  silaha mbalimbali 160 (Magobole 149, Rifle 3 na Shortgun 8) zinazo daiwa  kuwa ni haramu katika kipindi cha Januari hadi Disemba


JESHI la Polisi Mkoani Tanga limesema wamebaini kiwanda kimoja cha bunduki kilichokuwa misituni na kumkamata mtu mmoja anayetuhumiwa kuhusika. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Safia Jongo amesema wamekamata gobore 11.

Vitu vinavyodaiwa kukutwa kiwandani hapo ni vifaa vya kutengenezea silaha ikiwemo mitambo ya kutengeneza gobore, 'trigger' na 'cocking handle'.

No comments