ALIYEMTOA JELA MANDELA AFARIKI AFRIKA KUSINI

 F. W. de Klerk - Simple English Wikipedia, the free encyclopedia

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo Frederik Willem de Klerk, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

Frederik Willem de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia na ambaye alimtoa jela Rais wa Kwanza mweusi, Nelson Mandela alikuwa kiongozi wa nchi hiyo kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.

No comments