YUSUF MLELA ADAI KULALA NA WANAWAKE ZAIDI YA 100 TANGU AWE STAA

 Yusuf Mlela amchana 'Live' Nay wa Mitego | Ishi Kistaa

MUIGIZAJI mwenye jina kubwa katika sanaa ya uigizaji hapa nchini, Yusuf Mlela amedai kuwa tangu aanze kupata jina, ameshalala na wanawake zaidi ya 100.

Mlela pia amezungumzia masuala mbalimbali ya kimahusiano wakati akihojiwa na kituo kimoja cha redio jijini Dar es Salaam.

No comments