BUNGE LAPUNGUZA MUDA WA KAZI, POSHO, MISHAHARA PALEPALE

 Bunge la Tanzania lataka malipo ya Tundu Lissu yasimamishwe | Matukio ya  Afrika | DW | 07.02.2019

KATIKA kukabiliana na hatari ya maambukizi ya Uviko 19, Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amesema...tutafupisha masaa ya kufanya kazi, vikao vya bunge vitaanza kuanzia kesho saa nane mchana na kuendelea hadi saa moja usiku bunge litakapoahirishwa hadi siku inayofuata saa nane ya mchana tena,

"Hii itatufanya tutumie masaa matano (5) badala ya masaa saba na nusu kwa siku, Aidha kipindi cha maswali kitatumia muda wa dakika 60 badala ya dakika 90," alisema Ndugai. Wakati akisema hayo, hakusema lolote juu ya posho wala mishahara na stahiki zingine wanazopata wabunge kutokana na kazi zao.

No comments