BAADA YA SABAYA, WANANCHI WAMTAKA MKUU WA MKOA

BAADA ya kukamatwa, kuhojiwa na kisha kushtakiwa mahakamani kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, wananchi sasa wanataka na Mkuu wa Mkoa naye afanyiwe 'the same''
Katika mitandao ya
kijamii, wamesema kama kweli Mama Samia Suluhu Hassan, The Madam President
anataka heshima, basi aruhusu uchunguzi dhidi ya Mkuu huyo wa mkoa ambaye enzi
zake alikuwa untouchable.
Wanasema tuhuma
zinazomkabili Sabaya, ni cha Mtoto kwa zile zinazoelekezwa kwa huyu!
Ni Nani?

Post a Comment