
ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro, leo amewasili rasmi katika kituo chake kipya cha kazi, ambacho ni Kanda Maalum ya Polisi Jijini Dar es Salaam.
Muliro, ambaye
anategemewa na wengi kuwa ataweza kudhibititi uhalifu jijini hapo, amewasili
kipindi ambacho wimbi jipya la ujambazi limeanza kuchipua, baada ya miaka
mitano ya utulivu.

Post a Comment