Bila mashabiki mtu anapigwa

 

Simba SC set to host Nyasa Big Bullets tomorrow



SIMBA inaingia dimbani jioni hii kucheza mechi ya marudiano na El Merreikh ya Sudan katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika.

Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limezuia mashabiki kuingia uwanjani baada ya kukiuka masharti ya maambukizi ya Corona. Hata hivyo, kocha wa Simba, Didier Gomes ametamba kuwa kwa vyovyote, wakali hao wa Sudan wanang'oka.

Historia inaonyesha Simba haijawahi kupoteza mechi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika michuano ya kimataifa

No comments