VYAMA 18 VYA SIASA VYASIMAMISHA WAGOMBEA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI KWA KATA 22 ZA TANZANIA BARA.

 


Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele leo tarehe 19 Machi,2024 wakati akisoma Risala kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Kata 22 za Tanzania Bara huku akisema kuwa uchaguzi huu utahusisha vituo 373 vya Kupiga Kura.

Aidha Jaji Mwambegele amesema kuwa Wapiga Kura 128,157 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika Uchaguzi huu huku akitoa wito kwa vyama vya siasa na wanachi wote kutojihusisha na matendo yeyote yanayoashiria uvunjifu wa Amani siku ya uchaguzi


No comments