Mwanaharakati wa kuwataka weusi Ulaya wajitambue afariki
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, Kissendi ambaye ni Mtanzania aliugua muda mfupi kabla ya kufariki kwake. Mipango ya mazishi inaendelea.
Bado wana familia hawajaweka wazi ni lini mwili wa shujaa huyo utarudishwa lini.

 
 
Post a Comment