Wakuu wa shule za sekondari wachanga fedha za fomu ya Urais Samia Suluhu Hassan
Mweka Hazina wa umoja wa walimu hao, Zamoyoni Uzale alisema kwa sasa wanamsubiri waziri wa Tamisemi ili awape utaratibu wa namna ya kumpatia fedha hizo. Fomu ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi ngazi ya Urais huchukuliwa kwa shilingi milioni moja.

Post a Comment